HABARI MPYA....

Unordered List

Monday, March 21, 2016

RATIBA YA ROBO FAINALI UEFA: MAN CITY YAZIKWEPA BAYERN NA BARCA, VIPI KUHUSU MADRID, ATLETICO?


Draw-UEFA
Manchester City itaumana na mabingwawa Ufaransa Paris St-Germain kwenye robo fainali yao ya kwanza ya michuano ya vilabu bingwa UlayaCity ni klabu pekee kutoka England iliyobaki kwenye michuano hiyo imebahatika kuzikwepa Bayern Munich chini ya kocha wao mpya wa msimu ujao Pep Guardiola pamoja na mabingwa watetezi Barcelona ambao walikuwa kikwazo kwao kwenye misimu miwili iliyopita ambapo Man City walitupwa nje ya michuano hiyo na vilabu hivyo viwili.
Barca wao wanakutana na wapinzani wao wa kwenye ligi ya Hispania (La Liga) Atletico Madrid wakati Bayern Munich watachuana na Benfica huku Real Madrid ikipambana na Wolfsburg.
Mechi za hatua ya robo fainali zitaanza kuchezwa April 5-6 na 12-13 kuanza kuzisaka timu nne zitakazofuzu kwa ajili ya nusu fainali msimu huu.
Ratiba kamili ipo kama ifuatavyo:
Wolfsburg v Real Madrid
Bayern Munich v Benfica
Barcelona v Atletico Madrid
Paris St-Germain v Manchester City

TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI!

No comments :

Post a Comment

Translate

VISITORS

 
Support : TUANGAZE MEDIA COMPANY| TUANGAZE| Expert !
Copyright © 2011. nyavu - All Rights Reserved.
By favour of TUANGAZE
Proudly powered by TUANGAZE